Quantcast
Channel: Best Hope Media™
Viewing all 734 articles
Browse latest View live

MTAZAMO WA RAMA DEE KUHUSIANA NA ZITTO KABWE KUVULIWA MADARAKA KATIKA CHAMA CHA CHADEMA

$
0
0
Nimekaa na kutafakari nimegundua mambo mengi sana katika Nchi yangu yenye Watu wenye matumaini....matatizo ya Chama cha Chadema ni sawa na matatizo ya NCCR na CUF miaka iliyopita,Chama cha NCCR kilipewa matumaini makubwa na Wananchi miaka ya tisini kikiongozwa na mwenyekiti wake Mrema lakini zilifanyika mbinu kubwa za kukipunguza nguvu chama hiki na si vingine kuwatumia watu ambao wapo ndani ya chama wenye nafasi za juu...chama hiki walifanikiwa kukilipunguza nguvu na Wananchi walipoteza imani kabisa, lakini inafikia sehemu Wananchi Haswa Wasanii wenzangu tunatakiwa kusimama na Kutoziamini hizi propaganda pia inafikia wakati wa kila mwananchi kufahamu mipango ya chama kama chama, Chadema kumvua vyeo bwana Zitto ni sahihi kwa maslahi ya chama na katiba ya chama hilo sio la kujadili, tujadili je hii njia ambayo inatumiwa na Chama tawala kuvunja upinzani je tunaikabili vipi maaana inajirudia tu kila ikifika uchaguzi mkuu wanatengeneza njia za kuvuruga utaratibu, naomba tusiamini haya ambayo yapo mbele yetu tuamini kile chama ambavyo kinasema nafikiri ndio njia rahisi ya ukombozi wa elimu,afya nk,matatizo ya zitto haya tuhusu kwa sababu amevunja utaratibu (kanuni) na chama kimethibitisha, Mbowe ni mwana chama na kiongozi angekuwa anania mbaya na zitto basi hata hizo fulsa ambazo amepata zitto asingezipata, mwanzo sikumfahamu ZITTO nilikifahamu Chama na Chama kilimtambulisha, tukumbuke kila Chama kinaongozwa na katiba na ndio maana ya Chama... Watanzania tumebakiza muda kidogo sana kupata mabadiliko ni sisi kusimama na kuangalia wapi tunaelekea hizo ni siraha za chama tawala kwenye kukimaliza chama na naaamini hawawezi MUNGU BARIKI CHADEMA NA VIONGOZI WAKE yesu alisalitiwa kwenye Movment zake,lakini aliendelea mbele mpaka walipoona wamemshindwa walimmaliza ila ukweli ulibaki na upo mpala leo.... WATANZANIA TUSIMAME VIONGOZI WANAFANYA AKILI ZETU KAMA "PLAY STATION TUSIMAME JAMANI HASWA VIJANA WENZANGU NA WANAFUZI WA VYUO asanteni. USISHANGAE LEO KUONA ZITTO YUPO CCM!!!!!

Source: Facebook (Rama Dee)

EMMANUEL MSUYA NDIYE MSHINDI WA EPIQ BONGO STAR SEARCH 2013, HONGERA SANA

$
0
0
HATIMAYE MRITHI WA TAJI LA EBSS 2013 KUTOKA KWA WALTER CHILAMBO ALIYENYAKUA TAJI HILO MWAKA JANA APATIKANA. AKABIDHIWA BURUNGUTU LAKE LENYE THAMANI YA TSH. 150,000,000/=

THIS IS WHAT LUDACRIS WROTE AFTER PAUL WALKER'S DEATH. R.I.P PAUL WALKER

JE WAJUA KWAMBA MLIMA KILIMANJARO NDIO MLIMA MREFU ZAIDI DUNIANI?

$
0
0
KWANN TUNASEMA MLIMA KILIMANJARO NDO MREFU ZAID DUNIAN?? 
Na ktk post yang ya Miss Tz nmesema iv japo kuna walioshangaa.
Kuna njia kama 4 za kupma urefu wa mlima.

1.Kwa kgezo cha kuangalia umbali mfup kuzfikia nyota na mwez kutokea kilelen-Mlima Chimborazo upo Ecuador ndo mrefu zaid coz upo mbal zaid kutoka katkat ya dunia
yaan upo karibu na mzngo wa Ikweta ambao nusu kpenyo chake ndo kikubwa zaid toka katkat ya dunia
2.Mlima Everest umebebwa juu ya safu za milima ya Himalaya.so kutoka ktk kitako/base cha mlima Everest knachoanzia juu ya milima Himalaya mpaka juu yake ni meta kama 3000 tu. Japo ukiuesabia toka usawa wa bahar mlima Everest una m 8849 japo toka baharin/meta 0 had m 5000 sio mlima Everest

3.MLIMA MREFU KWA KUANGALIA KTAKO/base KILIPOANZIA haijalish wap kpo-Ni mlima Mauna Kea uliopo visiwa vya Hawaii ktako chake knaanzia baharin ivo una urefu wa m 10,058 japo tukiesabu umbal kuanzia usawa wa bahar una urefu wa meta 4,205 tu.

ILA sasa
4.MLIMA KILIMANJARO tofaut na milima kama Everest unaotegemea milima Himalaya na Aconcagua unaotegemea milima Andes,
Kilimanjaro ndo mlima mrefu zaid dunian unaosimama peke yake toka usawa wa bahari bila kutegemea safu za milima kwa urefu wa m 5895.
-ukiondoa mlima Fuj/Japan,Sinai /Egypt na Vesuvius/Italy inaamnka K'Jaro ndo mlima unaotembelewa zaid dunian

Pongezi kwake Miss Tz kwakujaliwa hiki "kijungu matata"

Na Frolian Martin Mgeni

UHURU KENYATTA MEETS US PRESIDENT BARACK OBAMA DURING THE LATE NELSON MANDELA MEMORIAL SERVICE AT FNB STADIUM

$
0
0
With US President, Barack Obama, during the late Nelson Mandela memorial service at FNB stadium in Johannesburg, South Africa.

STARS REMEMBER NELSON MANDELA

$
0
0

Stars Remember Nelson Mandela

Tributes are pouring out as celebrities and fans mourn the loss of anti-apartheid hero and South Africa's first black president Nelson "Madiba" Mandela who passed Thursday at his home at age 95. "What made Nelson Mandela great was precisely what made him human,"said South African President Jacob Zuma. "We saw in him what we seek in ourselves," he added as he announced an upcoming state funeral and ordered all flags in the country to be flown at half-staff to honor the fallen leader and statesman who battled a recurring lung infection in the weeks leading to his passing. R.I.P Madiba. You will live forever.

Today the world lost one it's greatest leaders. Rest in peace Mandela... —Eva Longoria

Rest in Peace Nelson Mandela and Thank you
#RIPNelsonMandela —Robert Griffin III

R.I.P Nelson Mandela, such an inspiration for the humanity. Will be always remembered. Hero of our days. —Juan Mata
Jahméne Douglas
Jahméne Douglas - RIP Nelson Mandela. A man who's lived a life full of experience and inspiring others. A Big part of history ! 95 years old! Incredible man.
RIP Nelson Mandela. A man who's lived a life full of experience and inspiring others. A Big part of history ! 95 years old! Incredible man.
5d

'Your playing small does not serve the world'. 
#RIPMandela —Gwyneth Paltrow

Rest in Peace Nelson Mandela. A true inspiration & role model for peace & international collaboration. We will continue to learn from him. —Buzz Aldrin

Nelson Mandela helped make the world a better place for us, our children & their children. Thank you. RIP... —Richard Blais

"People must learn to hate, and if they can learn to hate, they can be taught to love, for love comes more naturally to the human heart than its opposite" Nelson Mandela —Chris Dickerson
Sanaa Lathan
Sanaa Lathan - RIP #Mandela. We salute you for your life, your leadership and your devotion to humanity. Thank you for all your sacrifices in the name of  #freedom. Your legacy lives on in our hearts now and forever.
RIP #Mandela. We salute you for your life, your leadership and your devotion to humanity. Thank you for all your sacrifices in the name of #freedom. Your lega…
5d

RIP Nelson Mandela u changed the Whole world with your dignity and Strength!!! #TeamDl —D.L. Hughley
Revered world statesman Nelson Mandela has died at age 95. May he be cradled by angels as our hearts & prayers go out for a great man in history. —Shannon Elizabeth
Brian Tee
Brian Tee - Rest In PEACE Nelson Mandela because that is what you lived for. Thank you for inspiring and helping the world. #Madiba
Rest In PEACE Nelson Mandela because that is what you lived for. Thank you for inspiring and helping the world. #Madiba
5d
Carla Hall
Carla Hall - What we do for ourselves dies w us. What we do for others, and the world, remains and is immortal. - Albert Pine    We will miss Nelson Mandela, but his legacy will live forever.
What we do for ourselves dies w us. What we do for others, and the world, remains and is immortal. - Albert Pine We will miss Nelson Mandela, but his…
6d

FIVE CELEBRITIES WHO ATTENDED NELSON MANDELA'S MEMORIAL SERVICE

$
0
0
Though hundreds of world leaders and global celebrities gathered in Johannesburg to pay tribute to Madiba, these five celebrities were specially close to the late leader.

World leaders such as President Barack Obama and French President Francois Hollande, and global celebrities such as Oprah Winfrey and Naomi Campbell, congregated Tuesday morning on FNB Stadium in Soweto, Johannesburg, to pay tribute to the late anti-apartheid hero and first black South African President Nelson Mandela who passed away on December 5 at 95. Here are five celebrities in attendance who either worked with the late leader or called him "friend."
1. Naomi Campbell: One of Mandela's "Honorary Granddaughters," Campbell attended the service and posted this photo of President Obama and Cuban President Raul Castro to exemplify the reconciliation Madiba practiced in life.
2. Charlize Theron: The Academy Award-winning South African actress was also present at Mandela's memorial, where she blew a kiss to the audience. She and the late leader met in 2004.
3. Bono: U2's front man was another high-profile celebrity who paid tribute to Mandela in Johannesburg. "As an activist I have pretty much been doing what Mandela tells me since I'm a teenager,"he wrote.
4. Oprah Winfrey: The talk show host and actress was another high-profile celebrity in attendance. Oprah, who calls Mandela "a friend," says he inspired her to create an all-girl leadership academy in South Africa.
5. Bill Gates: The founder of Microsoft was also present at the memorial. He, his wife Melinda and Nelson Mandela worked together to reverse AIDS in South Africa.

WALIOITWA KWENYE USAILI TAKUKURU (PCCB) SIKU YA IJUMAA TAREHE 17/01/2014


NGOMA MPYA YA PROFESSOR JAY AKIMSHIRIKISHA DIAMOND PLATNUMZ, RAISI WA WASAFI YAENDELEA KUPIKWA NA P-FUNK MAJANI NDANI YA BONGO RECORDS

$
0
0
Day1 Ndani ya Bongo Records with the Super dupa producer P - funk Majani and @diamondplatnumz himself Muda Huu # COOKING for all yall'.... kaeni mkao wa kula watu wangu!!!


Day2 at Bongo Records with @p-funk majani and @diamondplatnumz Still Cooking. ..Stay tuned!

A PERSON BLAME ON WHATSAPP CHATTING FOR SPENDING MUCH OF HIS TIME AND BLAMES FROM HER GIRLFRIEND

$
0
0
I found this in one of the facebook member wall. The one who shared this picture was much blaming on how Whatsapp has been spending much of his time and not only that and for how it has made many quarrels from his girlfriend. This has been due to the fact that, the application has got a notification of when you were online and if the message have been seen on not. 
SOCIAL NETWORKS AND CHAT MESSENGERS ARE GOOD AND IMPORTANT TO OUR DAILY LIFE BUT WE SHOULD USE THEM WISELY.
THEY DON'T MAKE PROBLEMS BUT WE ARE THE ONE CREATING THOSE PROBLEMS

KOMLA DUMOR, BBC WORLD TV PRESENTER, HAS DIED SUDDENLY AT HOME IN LONDON, AGED 41.

$
0
0
Ghana-born Dumor was a presenter for BBC World News and its Focus on Africa programme.
Paying tribute, Peter Horrocks, director of BBC Global News, said "Komla was a leading light of African journalism - committed to telling the story of Africa as it really is. He will be deeply missed."

R.I.P KOMLA DUMOR
Photo: Komla Dumor, BBC World TV presenter, has died suddenly at home in London, aged 41. http://bbc.in/1cFW7mT  Ghana-born Dumor was a presenter for BBC World News and its Focus on Africa programme.  Paying tribute, Peter Horrocks, director of BBC Global News, said "Komla was a leading light of African journalism - committed to telling the story of Africa as it really is. He will be deeply missed."

SIRI YA HERUFI YA MWANZO YA JINA LAKO

$
0
0
HERUFI A Mwenye jina linaloanziana na herufi A ni mtu anayependa mambo makubwa, anajiamini na mwenye uwezo wa kutimiza malengo yake. Ni mtu mwenye tahadhari, mchangamfu na mpenda matukio. Anapenda Kuheshimiwa, anapenda Mamlaka, na ana kiburi, na hasira.

HERUFI B wenye jina linaloanziana na herufi B ni mtu, mkarimu, muaminifu, na hupenda kazi. Ni Jasiri, shujaa na mkatili katika vita au pale anapotaka kulinda vilivyo katika himaya yake.

HERUFI C Mwenye jina linaloanziana na herufi C ni mtu wa kukubadilika badilika, mshindani na hupenda kupigania malengo yao wanayopenda. Ni watu wa wabunifu na wanaopenda mawasiliano.

HERUFI D Mwenye jina linaloanziana na herufi D ni mtu anayependa usawa, Biashara. Ni watu wanaopenda kuamrisha na mwenye kupenda usafi. Ni jeuri na wenye msimamo.

HERUFI E Mwenye jina linaloanzia na herufi E ni mtu mwenye roho nzuri ,yenye mapenzi na huruma. mwenye kupenda uhuru katika mapenzi na mchangamfu. Kinyume na hivyo atakuwa ni mtu asiotegemewa na kigeugeu.

HERUFI F Mwenye jina linaloanzia na herufi F ni mtu mwenye mapenzi,huruma , roho nzuri na ana uwezo wa kuwafariji watu. Ni mtetezi wa watu na mwenye huzuni lakini ni mzito wa kufanya maamuzi.

HERUFI G Mwenye jina linaloanzia na herufi G ni mtu mwenye mwenye imani ya kidini na nguvu za kiroho. Ana kipaji cha kubuni na uwezo wa kutatua matatizo ya watu. ni mtu mwenye hisia kali,msomi, mpweke na mkaidi wa kukubali ushauri wa kutoka kwa watu.

HERUFI H Mwenye jina linaloanzia na herufi H ni mtu mwenye ubunifu na nguvu katika biashara, hupata faida kubwa kutokana na jitihada na bidii zake. ni mwenye mawazo mengi, mchoyo na mbinafsi.

HERUFI I Mwenye jina linaloanzia na herufi I ni mtu mwenye kupenda sheria, ana huruma na utu. Wakati mwingi hajiamini na ni mwenye hasira za haraka.

HERUFI J Mwenye jina linaloanzia na herufi J ni mtu mwenye matamanio,mkweli, mkarimu na muerevu. asiyekubali kushindwa na hupata mafanikio makubwa. Wakati mwingine anakuwa ni mtu mvivu na aliyekosa mwelekeo.

HERUFI K Mwenye jina linaloanzia na herufi K ni mtu mwenye jeuri. mwenye msimamo thabiti,mashuhuri na mwenye uwezo wa kushawishi na kuamsha hisia za watu wana uwezo wa utambuzi ambao watu wengi hawana. ni mtu asioridhika na hali ya kimaisha.

HERUFI L Mwenye jina linaloanzia na herufi L ni mtu wa vitendo, mwenye hisani na aliyejipanga vizuri kimaisha. Huwa wanapata ajali mara kwa mara.

HERUFI M Mwenye jina linaloanzia na herufi M ni mtu mwenye kujiamini sana, mchapakazi na hupata mafanikio. ni mtu mropokaji,mwenye haraka na mwepesi kukasirika.

HERUFI N Mwenye jina linaloanzia na herufi N ni mtu mwenye ubunifu, hisia kali na hupenda kuwasiliana lakini ana wivu sana.

HERUFI O Mwenye jina linaloanzia na herufi O ni mtu mwenye subra, mvumilivu na mwenye bidii ya kusoma. Ni mtu mwenye kupenda kutumikia jamii na mwenye uwezo mkubwa wa kudhibiti hisia.

HERUFI P Mwenye jina linaloanzia na herufi P ni mtu mwenye uwezo wa kuamrisha na hekima kubwa. Ana nguvu za kiroho lakini anapenda sana kujitumbukiza kwenye mambo ya watu.

HERUFI Q Mwenye jina linaloanzia na herufi Q ni mtu mwenye kupenda mambo ya asili. Ni watu wasiyoelezeka nawana uwezo wa kuonyesha vitu visivyojulikana hata hivyo ni mtu aliyepooza sana.

HERUFI R Mwenye jina linaloanzia na herufi R ni mtu mwenye uvumilivu, wenye huruma lakini ana hasira za haraka. Muda wote anakuwa mpenda amani.

HERUFI S Mwenye jina linaloanzia na herufi S ni mtu mwenye mvuto mkali wa kuleta utajiri. Ni watu wenye maamuzi ya ghafla na hupenda mageuzi makubwa.

HERUFI T Mwenye jina linaloanzia na herufi T ni mtu mwenye kupenda ushauri wa kiroho, anatumia nguvu za ziada kusaidia watu na hupata mafanikio baada ya muda mrefu. Ni watu wenye hisia kali sana na ni wepesi kushawishika.

HERUFI U Mwenye jina linaloanzia na herufi U ni mtu mwenye bahati kubwa kwa ujumla. Anapenda uhuru katika mapenzi. Lakini ni mtu mbinafsi, mwenye tamaa na aliyekosa maamuzi.

HERUFI V Mwenye jina linaloanzia na herufi V ni mtu Mchapakazi, wenye bidii na asie choka. Hata hivyo ni watu wasiotabirika.

HERUFI W Mwenye jina linaloanzia na herufi W ni mtu muwazi, wachangamfuu kupita kiasi na mwenye uwezo wa kutambua mtu mwema na mbaya. Ni watu wenye tamaa na hufanya mambo ya hatari.

HERUFI X Mwenye jina linaloanzia na herufi X ni mtu asiyependa kuwekewa vizuizi katika kwenye anasa na ni rahisi kujiingiza kwenye uzinzi na kujitoa uaminifu.

HERUFI Y (YASINTA) Mwenye jina linaloanzia na herufi Y ni mtu mwenye kupenda Uhuru na hawapendi kupingwa jambo lao lolote. Ni watu wanaokosa uamuzi na husababishia kupoteza bahati katika maisha.

HERUFI Z Mwenye jina linaloanzia na herufi Z ni mtu mwenye kupenda matumaini na amani. Ni wenye msimamo mkali ila wanashauriwa kufikiria.

KABLA HAUJAANZA KUZUNGUKA NA NA BAHASHA YENYE CV NA VYETI ILI KUFUKUZIA AJIRA PATA ELIMU YA BURE

$
0
0
Kuna uwezekano umeshaandaa vyeti vyako na wasifu wako na upo kwenye michakato ya kuanza kuzunguka na bahasha kupeleka sehemu mbalimbali ii kuomba nafasi ya ajira. Kabla hujaweka nguvu na matumaini yako kwenye mchakato wa kuzunguka na bahasha kuna vitu vichache ambavyo ni vyema ukavijua.

1. Nafasi za ajira ni chache kuliko idadi ya wahitimu na wenye sifa. Kwa sasa karibu kila kada ukiondoa elimu na afya kuna nafasi chache sana serikalini na hata kwenye taasisi binafsi. Hata kwa kada ya elimu nako kwa miaka ya hivi karibuni kuna baadhi ya wahitimu wamekosa nafasi za kazi. Hivyo unavyoingia sokoni jua kabisa ‘demand’ ni ndogo kuliko ‘supply’

2. Sio kila nafasi za kazi zinazotangazwa ziko wazi. Kuna baadhi ya taasisi zinatangaza nafasi za kazi ili tu kutimiza wajibu na sheria ya kutaka ajira zitangazwe kwa umma. Hivyo unaweza kuandika maombi, ukaitwa kwenye usaili na bado ukaambiwa umekosa nafasi.

3. Wenzako wa mwaka jana na mwaka juzi bado wanazunguka na bahasha. Bado kuna wahitimu wengi wa miaka iliyopita nao bado hawajapata ajira. Kuna ambao bado wanaendelea kupitisha bahasha na kuna baadhi ambao wameamua kufanya mambo mengine. ni vyema kuwatafuta wa kila kundi ili ujifunze machache kutoka kwao.

4. Mishahara ya kazi za kwenye taasisi binafsi ni midogo sana. Tofauti na story za vyuoni kwamba mishahara inaanzia labda laki tano au laki saba jua kuna wenzako wana degree hivyo hivyo na wanalipwa laki mbili. Kama ukipata kazi na mshahara wakakutajia mdogo kama huna kingine cha kufanya ni bora kuchukua kazi hiyo ila uifanye kwa lengo la kupata ujuzi na kujenga mtandao na watu wanaofanya kada uliyosomea. Kuliko kukaa mwaka mzima ukizunguka na bahasha ukitegemea mshahara mkubwa ni bora kupata japo laki mbili kwa mwezi huku ukiendelea kukuza mtandao wako na ujuzi wako.

5. Kuna kazi za kujitolea, kama umekosa hata kazi ya bei rahisi kuna taasisi nyingi ambazo zina mpango wa watu kujitolea kufanya kazi na baadae unaweza kuingizwa kwenye ajira. Kama hali ya nyumbani inaruhusu kwa kuweza kupata kula na nauli fanya kazi za kujitolea na huko onesha uwezo wako na vipaji vyako. Kwa kuonesha uwezo na vipaji ni rahisi sana kukubalika na kupewa nafasi, na pia utatengeneza mtandao wa watu watakaokuonesha njia zaidi.

6. Sio lazima ufanye kazi ya kitu ulichosomea. Kuna baadhi ya kazi zinaweza kufanywa na mtu yeyote aliehitimu elimu fulani. Kwa mfano kwa sasa kuna uhaba mkubwa wa walimu, hivyo kama umehitimu unaweza kutafuta shule na ukafundisha masomo yanayohusiana na ulichosomea. Kama umesoma kada za biashara unaweza kufundisha masomo ya biashara, kama umesoma sayansi kuna nafasi kubwa za kufundisha masomo ya sayansi kutokana na uhaba wa waalimu wa sayansi. Kama unadhani kushika chaki sio hadhi yako basi endelea kuzunguka na bahasha mjini.

7. Angalia mazingira yanayokuzunguka na jinsi unavyoweza kuyatumia kutengeneza ajira kwako na kwa wanaokuzunguka. Hii ndio dhana halisi ya elimu ila kwa kuwa elimu yetu inatuandaa kuwa waajiriwa basi tunajikuta wote tunasubiri kuajiriwa.Ni vyema ukaanza kufikiri tofauti na uliyofundishwa chuoni kuhusu ajira.

8. Cha mwisho kabisa ambacho ni vyema ukakijua na ambacho ingebidi kiwe cha kwanza ni kufanya maamuzi ya kujiajiri. Kama utachoshwa na kuzungusha bahasha ama kama hutaki kupata hiyo karaha ni vyema ukafanya maamuzi ya kutotegemea kuajiriwa. Tumia uwezo na vipaji ulivyonavyo changanya na elimu uliyoipata halafu tumia mazingira uliyopo kutengeneza ajira kwako na kwa wanaokuzunguka.

WALIOITWA KWENYE INTERVIEW PCCB NA MATOKEO YA APTITUDE TEST

HAWA NDIO MAREFARII WATAKAOCHEZZESHA KOMBE LA DUNIA FIFA 2014 NCHINI BRAZIL

$
0
0
African Zone
CountryReferee
CMRNeant ALIOUM
RSADaniel BENNETT
CIVNoumandiez DOUE
GAMBakary GASSAMA
ALGDjamel HAIMOUDI
CountryAssistant Referee
MARRedouane ACHIK
BDIJean Claude BIRUMUSHAHU
SENDjibril CAMARA
ALGAbdelhak ETCHIALI
RWAFelicien KABANDA
CMREvarist MENKOUANDE
KENMarwa RANGE
CIVSonguifolo YEO

North, Central American and Caribbean Zone
CountryReferee
SLVJoel AGUILAR
USAMark GEIGER
GUAWalter LOPEZ
PANRoberto MORENO
MEXMarco RODRIGUEZ
CountryAssistant Referee
USAEric BORIA
CANJoe FLETCHER
USASean HURD
CRCLeonel LEAL
MEXMarcos QUINTERO
MEXMarvin TORRENTERA
SLVWilliam TORRES
SLVJuan ZUMBA

Oceanian Zone
CountryReferee
TAHNorbert HAUATA
NZLPeter O LEARY
CountryAssistant Referee
NZLJan Hendrik HINTZ
FIJRavinesh KUMAR
NZLMark RULE

KENNY KIDAGO LYANGA MFANYAKAZI WA EAST AFRICAN TV NA RADIO NA MENEJA MWANZILISHI WA RADIO BEST FM - LUDEWA AFARIKI DUNIA

$
0
0
Source: Jamii Forum

Habari za mchana huu wanaJF!


Nachukua nafasi hii kuwajulisha kuwa tumempoteza mwenzetu aliyejulikana kwa ID ya K007 ambaye kwa jina halisi ni Kenny Kidago Lyanga.

Kenny alikuwa ni rafiki wa karibu yangu na mm ndiiye niliyemshawishi ajiunge na JF tukiwa Arusha.

Alihama Arusha kuja dar kikazi ambapo hadi mauti inamkuta alikuwa ni creative assistance East African TV & Radio. 

Chanzo cha kifo chake hakijajulikana lkn mfanyakazi mwenzie ambaye alinijulisha habari hii asbh hii anasema tangu juzi wamekuwa wakimtafuta kazini bila mafanikio ndipp leo walipoamua kwenda ku-report polisi ndipo polisi walipokwenda kwenye makazi yake pale mwenye kituo cha mbele kidogo ya calabashi na kuita bila mafanikio, lakn walikipiga simu zilikuwa zikiita ndani ndipo walipofanya mpango wa kuvunja mlango na kumkuta ndani akiwa amefariki. 

Hakuna taarifa za ugonjwa wala kukutwa na majeraha yoyote.

Hadi asbh ya leo saa tatu kasoro hivi nilikuwa nilimtumia msg maananilikuwa nimwemwachia external hhard disk yangu aniwekee movie kama week moja iliyopita.

Kenny anatarajiwa kuzikwa kwao Morogoro mjini.

R.I.P Kenny Lyanga.

THIS IS MY SHORT VIDEO SINCE I HAVE JOINED FACEBOOK

TOP 10 FASHION TIPS FOR WOMEN ESPECIALLY DURING THIS VALENTINE SEASON

$
0
0

1. Focus on strengths


2. Quality versus quantity

3. Create a personal look

4. Try new things

5. Simplicity is best

6. Don’t break the bank

7. Take note of fashion trends

8. Accessories make the outfit

9. Tailor an outfit

10. Implement the basics

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2013 MBIONI KUTOKA HUKU WATAHINIWA WAKIWA MATUMBO JOTO(NATIONA FORM FOUR RESULTS 2013)

$
0
0
Zikiwa zimebaki siku chache matokeo ya kidato cha nne kutoka imeonekana ikiwa ni kipindi kigumu sana kwa watahiniwa waliofanya mtihani huo mwaka jana 2013. Hii imetokana na matokeo ya msimu uliopita kuwa mabaya pamoja na mabadiliko ya madaraja ya matokeo hayo kwa mfano kuongezeka kwa daraja la tano (Division 5).
Je msimu huu mambo yatabadilika au ndo yatakuwa mabaya zaidi ?

NYASA COMPUTERS LTD OFFERS TO YOU A VARIETY OF SERVICES AT THE LOWEST PRICES EVER.

Viewing all 734 articles
Browse latest View live




Latest Images